Teddy Mapunda,
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL),
akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), baada ya uwekaji wa jiwe la
msingi katika hospitali ya Wilaya ya Iringa mjini kwa ajili ya ujenzi wa matanki
katika mradi wa kuvuna maji ya mvua kwa ajili ya hospitali hiyo na wakazi wa
karibu na hospitali hiyo iliyopo Frelimo kata ya Mwangata mjini
Iringa.
Naibu Waziri wa Maji Injinia Gryason Rwenge, akiweka
jiwe la msingi katika hospitali ya Wilaya ya Iringa mjini kwa ajili ya ujenzi wa
matanki ya kuhifadhia maji katika mradi wa kuvuna maji ya mvua kwa ajili ya hospitali hiyo na wakazi
wa karibu na hospitali hiyo iliyopo Frelimo kata ya Mwangata mjini Iringa,
wanaoshuhudia kutoka kulia ni Nandi Mwiyombela Meneja Miradi Endelevu na
uwajibikaji wa kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), Dk. Stella Kiwele Mganga mkuu
msaidizi wa hospitali hiyo na Teddy Mapunda mkurugenzi wa Mawasiliano na
uhusiano wa (SBL).
Hospitali ambayo mradi wa uvunaji wa maji ya mvu umezinduliwa na wanaoonekana pichani ni baadhi ya
wauguzi na wafanyakazi wa hospitali hiyo mara baada ya kuhudhuria uwekaji wa
jiwe la msingi.
Wafanyakazi wa mradi
huo, wakichimba msingi wa kuweka matanki hayo.
No comments:
Post a Comment