TANGAZO


Saturday, March 24, 2012

Rais Kikwete awaapisha Makatibu Tawala wa Mikoa



Rais Jakaya Kikwete, akimwapisha Katibu Tawala mpya wa Mkoa wa Mbeya, Mariam Mtunguja, Ikulu, Dar es Salaam leo. Katika hafla hiyo Rais aliwaapisha pia makatibu Tawala wa mikoa mingine kama ifuatavyo, Dk. Faisal Issa (Kilimanjaro), Eliya Ntandu Morogoro), Severine Kahitwa (Geita), Emmanuel Kalobelo (Katavi), Hassan Bendeyeko (Ruvuma) na Dk. Anselem Tarimo (Shinyanga). (Picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment