TANGAZO


Monday, March 26, 2012

Dk. Shein amwapisha Katibu Mpya wa Baraza la Wawakilishi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akimwapisha Yahya Khamis Hamad, kuwa Katibu wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar leo, baada ya kumteua kushika nafasi hiyo, katika hafla iliyofanyika Ikulu mjini Zanzibar. (Picha na Ramadhan Othman,Ikulu)





 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akimwapisha Luteni Kanali Mohamed Mwinjuma Kombo, kuwa Mkuu wa Kikosi cha Valantia Zanzibar, jana baada ya kumteua kushika nafasi hiyo, katika hafla ilifanyika Ikulu mjini Zanzibar leo.




Yahya Khamis Hamad, Katibu wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar.





Luteni Kanali Mohamed  Mwinjuma Kombo, Mkuu wa Kikosi cha
Valantia  Zanzibar

No comments:

Post a Comment