TANGAZO


Thursday, February 2, 2012

Mustafa Hassanali kwenye maonesho ya Bangalore nchini India

Muonesha mavazi akiwa kwenye vazi lililobuniwa na mbunifu mavazi, Mustafa Hassanali katika maonesho ya FIMA, nchini Niamey, Niger Novemba 26, mwaka uliopita. (Picha na Mustafa Hassanali)

Muonesha mavazi akiwa amevaa vazi lililobuniwa na Mustafa Hassanali akitembea wakati wa maonesho ya kuchangia waathirika wa Mafuriko, Hoteli ya Serena Januari 12, 2011.


Washindi walioingia fainali ya nguo za mbunifu, Mustafa Hassanali katika mashindano ya  FIMA, mjini Niamey, nchini Niger, Novemba 26, 2011.



Mustafa Hassanali, akitembea na mmoja wa washiriki walivaa nguo alizozibuni ya vazi la Serengeti alilolizindua katika maonesho ya Mauritius yanayoendela.

No comments:

Post a Comment