TANGAZO


Tuesday, January 31, 2012

Waziri Mkuu Pinda, abadilishana mawazo na Wabunge, nje Bunge Dodoma

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Rita Mlaki (katikati), bungeni Dodoma leo.
 

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akizungumza na Mbunge wa Busega, Titus Kamani kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo, Januari 31, 2012.



Akisalimiana na mmoja wa wageni wake kwenye viwanja vya Bunge leo.
 

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifurahia jambo na Mbunge wa Mkuranga na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Adam Malima (wa pili), Mbunge wa Kigoma Kusini David Kafulila na Mbunge wa Gairo Ahmed Shabiby. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment