
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Balozi wa Marekani nchini, Alfonso Lenherdt, alipofika Ikulu mjini Zanzibar leo. (Picha na
Ramadhan Othman, Ikulu.)

Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Ujumbe uliofuatana na Balozi wa
Marekani nchini, Alfonso Lenherdt, walipofika Ikulu, mjini Zanzibar
leo.

Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Balozi wa Marekani nchini Tanzania
Alfonso Lenherts, alipofika Ikulu mjini Zanzibar leo 31/01/20120.
No comments:
Post a Comment