Mkapa akiwasili nyumbani kutoka Afrika Kusini
Mwenyekiti Mstaafu wa CCM, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa akilakiwa na Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama alipowasili leo Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, akitoka Afrika Kusini ambako alimwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika maadhimisho ya miaka 100 ya chama cha ANC. Kati niu Mama Anna Mkapa.
Polisi Mbeya wapata Mkuu mpya wa Upelelezi
Magari matatu yangongana jioni hii, mjini Mbeya
Magari matatu yamegongana jioni hii, maeneo ya Mwanjelwa, dereva wa gari aina ya Toyota Carina alisimama ghafa na ndipo magari yaliyofuatia nyuma yake, yakashindwa kushika breki na kugongana. |
Moja ya magari hayo, yakiwa yameligonga gari aina ya Toyota Hice kwa nyuma. |
Gari aina ya Toyota Carina, likiwa limegongwa kwa nyuma na Toyota Hice, baada ya nalo kugongwa na mwenzake kwa nyuma katika ajali hiyo.
Mkataba wa Ujenzi wa daraja la kigamboni watiwa saini
Dk. Dau akisaini mkataba na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni itakayojenga daraja la Kigamboni, Dar es Salaam, Shi Yuan. |
Dk. Dau akipongezwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick.
Waziri wa Ujenzi akijadiliana jambo na Mtangazaji wa Radio Clouds, Ephraem Kibonde aliyekuwa MC wa hafla hiyo.
Wapigapicha wakifurahi pamoja na Waziri wa Ujenzi, Dk. Magufuli, mara baada ya kusainiwa kwa mkataba wa ujenzi wa daraja la Kigamboni.
No comments:
Post a Comment