Cheka alivyomchakaza Nyilawila, Uwanja wa Jumhuri Morogoro
Bondia Ibrahimu Class (kushoto), akipambana na Venasi Mponji
katika pambano la utangulizi kabla ya Francis Cheka kutwangana na Karama
Nyilawila, Uwanja wa Jamhuri, Morogoro juzi usiku. (Picha na Rajab Mhamilwa
Super D, Mnyamwezi)
Bondia Ibrahimu Class (kushoto), akimtupia konde la kushoto Venasi
Mponji katika pambano hilo, uwanjani hapo.
Bondia Francis Cheka (kulia), akimtupia konde la mkono wa kushoto, Karama Nyilawila, wakati wa mpambano wao huo, uwanjani hapo.
Karama Nyilawila (kushoto), akikwepa konde la mkono wa
kushoto la Francis Cheka, katika mpambano huo ulioishia kwa Cheka kushinda kwa
pointi.
Bondia Karama Nyilawila (kulia), akipenyeza ngumi ya mkono wa
kushoto, kidevuni mwa Francis Cheka katika pambano hilo.
Cheka akitangazwa kushinda kwa pointi na mwamuzi wa mpambano
huo. Kushoto ni Karama Nyilawila.
Cheka akinyanyua mikono juu kuashiria ushindi dhidi ya mpinzani
wake huyo, Karama Nyilawila.
Askari Polisi wakiwatuliza mashabiki wakati wa mpambano huo,
uliokuwa wa upinzani mkali.
No comments:
Post a Comment