TANGAZO


Saturday, November 25, 2017

Kwa Picha: Kuapishwa kwa rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa

Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa amekula kiapo cha kuchukua uongozi katika uwanja uliojaa umati mkubwa wa watu katika mji mkuu wa Harare
Tunatazama picha za sherehe hiyo na umati mkubwa uliokongamana katika uwanja huo wa kitaifa wa michezo.
Uwanja wa michezo unaobeba watu 60,000 ulijaa huku raia wa Zimbabwe wakitaka kushuhudia kuapishwa kwa rais mpya.Haki miliki ya pichaREUTERS
Image captionUwanja wa michezo unaobeba watu 60,000 ulijaa huku raia wa Zimbabwe wakitaka kushuhudia kuapishwa kwa rais mpya.
Kuapishwa kwa bwana Mnangagwa kunafuatia kuondoka madarakani kwa Robert Mugabe baada ya kuwa mamlakani kwa takriban miaka 37Haki miliki ya pichaREUTERS
Image captionKuapishwa kwa bwana Mnangagwa kunafuatia kuondoka madarakani kwa Robert Mugabe baada ya kuwa mamlakani kwa takriban miaka 37
Bwana Mnangagwa alikuwa makamu wa rais wa Kwnaza ambaye alifutwa kazi mapema mwezi huu hatua iliosababisha jeshi kuingilia kati na kumshinikiza Mugabe kujiuzuluHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionBwana Mnangagwa alikuwa makamu wa rais wa Kwnaza ambaye alifutwa kazi mapema mwezi huu hatua iliosababisha jeshi kuingilia kati na kumshinikiza Mugabe kujiuzulu
bwana Mnangagwa, ambaye alilitoroka taifa hilo alirudi kutoka mafichoni siku ya Jumatano tarehe 21 NovembaHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionbwana Mnangagwa, ambaye alilitoroka taifa hilo alirudi kutoka mafichoni siku ya Jumatano tarehe 21 Novemba
Rais mpya na mkewe AxiliaHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionRais mpya na mkewe Axilia
Bwana Mnangagwa amekuwa katikatiu ya urtawala wa Mugabe kwa takriban miaka 37Haki miliki ya pichaREUTERS
Image captionBwana Mnangagwa amekuwa katikatiu ya urtawala wa Mugabe kwa takriban miaka 37
Mkuu wa jeshi jenerali Constantino Chiwenga, mtu aliyeongoza mapinduzi ya Robert Mugabe akitazama kuapishwa kwa MnangagwaHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMkuu wa jeshi jenerali Constantino Chiwenga, mtu aliyeongoza mapinduzi ya Robert Mugabe akitazama kuapishwa kwa Mnangagwa
Bwana Mnangagwa anashirikishwa na wengi na mabaya yaliofanyika chini ya utawala wa Zanu-PfHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionBwana Mnangagwa anashirikishwa na wengi na mabaya yaliofanyika chini ya utawala wa Zanu-Pf
Katika hotuba yake alimsifu mtangulizi wake Robert MugabeHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionKatika hotuba yake alimsifu mtangulizi wake Robert Mugabe
Pia aliahidi kuwatumia raia wote wa Zimbabwe , sio wanachama wa Zanu Pf pekee.Haki miliki ya pichaREUTERS
Image captionPia aliahidi kuwatumia raia wote wa Zimbabwe , sio wanachama wa Zanu Pf pekee.
Viongozi kutoka mataifa jirani ya Zimbabwe walihudhuriaHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionViongozi kutoka mataifa jirani ya Zimbabwe walihudhuria
Alikuwa waziri wa zamani wa ulinzi , usalama na amekuwa na uhusiano wa karibu na JeshiHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionAlikuwa waziri wa zamani wa ulinzi , usalama na amekuwa na uhusiano wa karibu na Jeshi
Jeshi liliingilia kati na kumng'atua mamlakani Robert MugabeHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionJeshi liliingilia kati na kumng'atua mamlakani Robert Mugabe
Umati mkubwa wa watu ulifurahia wakati wa kupigwa kwa mizingia 21 kama heshima ya kumkaribisha rais mpya huku ndege za kijesh zikiwa anganiHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionUmati mkubwa wa watu ulifurahia wakati wa kupigwa kwa mizingia 21 kama heshima ya kumkaribisha rais mpya huku ndege za kijesh zikiwa angani
Raia wengi wa Zimbabwe waliunga mkono hatua ya jeshi ya kuingilia kati kumuondoa MugabeHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionRaia wengi wa Zimbabwe waliunga mkono hatua ya jeshi ya kuingilia kati kumuondoa Mugabe

No comments:

Post a Comment