- Je wewe ni muimbaji ama una kipaji cha kuimba ama wapiga vyombo kanisani?
- Uko tayari kumwabudu Mungu?
Ikiwa umejibu ndiyo basi wewe ni kati ya wale 200 tunaowahitaji kujisajili kushiriki mkesha huu. Jisajili kwa kupiga simu ziziopo hapa chini, Usaili utafanyika tarehe 16.9.2017 Jumamosi saa 2 hadi saa 8 mchana. JISAJILI SASA +255657266777 au +255768570703


No comments:
Post a Comment