Mkuu wa Nemc akiongea na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Profesa Faustine Kamuzora.
Katibu Mkuu Profesa Kamuzora akiongea na Mkurugenzi wa Nemc
Katibu Mkuu Profesa Faustine Kamuzora (kulia), akiongea jambo wakati akiangalia mazingira.
Katibu Mkuu Profesa Kamuzora akitia saini kitabu cha wageni.
Katibu Mkuu Profesa Kamuzora, akisalimiana na watumishi wa Nemc.
Mkurugenzi wa Nemc akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu Profesa Kamuzora.
Katibu Mkuu Profesa Kamuzora, akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Nemc.








No comments:
Post a Comment