Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani akisalimia na mmoja wa watoto wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri Marehemu Samuel Sitta baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu kutoa pole ya msiba huo.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani akisalimiana na aliyekuwa Mbunge wa Tabora Mjini Ismail Aden Rage alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri, Marehemu Samuel Sitta.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani akisalimiana na mmoja wa waombolezaji wa msiba wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri, Marehemu Samuel Sitta.

No comments:
Post a Comment