TANGAZO


Tuesday, October 18, 2016

MSIMU WA TIGO FIESTA WAHITIMISHWA MIKOANI KWA KUMALIZIA JIJINI MBEYA

Baraka Da Prince akitumbuiza mbele ya umati wa wakazi wa Mbeya waliojitokeza katika tamasha la Tigo Fiesta usiku wa kuamkia jumapili.
Benpol katika jukwaa la Tigo Fiesta usiku wa kuamkia ijumaa.
Joh Makini akitumbuiza katika tamasha la Tamasha la tigo fiesta.

Jux akitumbuiza jukwaani.
Wasanii Man Fongo na  Shilole   wakitoa   burudani ya singeli kwenye  tamasha la Tigo fiesta lililofanyika uwanja wa  Sokoine  jijini Mbeya usiku wa  jumapili.
Mr blue akitumbuiza umati wawakazi wa Mbeya waliojitokeza katika viwanja vya Forest Mbeya.
Msanii Msami akiwa  amemnyanyua   mcheza shoo wake stejini  kuonyesha   uwezo wake wa kumiliki  jukwaa  kwenye  tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika  uwanja wa  Sokoine  jijini Mbeya usiku wa jumapili.
Wasanii Roma Mkatoliki   na Stamina wakionesha  umahiri  wao  wa  kufokafokakwakupokezana   kwenye   tamasha la Tigo fiesta lililofanyika  uwanja wa Sokoine  jijini Mbeya usikuwa  jumapili.
Mashabiki wakimshangilia Roma Mkatolili.
Maelfu ya wakazi wa Mbeya wakifurahia burudani toka kwa wasanii waliotumbuiza katika Tamasha la Tigo Fiesta.
Weusi wakilishambulia jukwaa la Fiesta.

No comments:

Post a Comment