TANGAZO


Thursday, October 20, 2016

Afcon 2017: Ivory Coast uso kwa uso na kocha wake wa zamani Herve Renard

Morocco and Ivory Coast watachuana mara tatu ndani ya miezi michache ijayo

Image captionMorocco and Ivory Coast watachuana mara tatu ndani ya miezi michache ijayo
Timu ya taifa ya Ivory Coast itapambana na kocha wake wa zamani Herve Renard baada ya kupangiwa katika kundi moja na Morocco katika michuano ya fainali za kombe la mataifa ya Afrika.
Renard aliiongoza Ivory Coast katika fainali za kombe hilo mwaka 2015 na sasa anakwenda tena Gabon akiwa na kikosi cha nchi tofauti.
Gabon watafungua mashindano hayo Januari 14, huku mchezo wa fainali ukipangwa kuwa Februari 5.

Muonekano wa timu na makundi AFCON 2017

KUNDI A
Gabon
Burkina Faso
Cameroon
Guinea Bissau

KUNDI B

Algeria
Tunisia
Senegal
Zimbabwe

KUNDI C

Ivory Coast
DR Kongo
Morocco
Togo

GROUP D

Ghana
Mali
Misri
Uganda

No comments:

Post a Comment