Serikali ya Zimbabwe imewaonya waandamanaji ikiwataka wazishiriki maandamano kwenye mji mkuu Harare.
Waziri wa mambo ya ndani alisema kuwa vikosi vya usalama vitalinda kwa ukamilfu kile alichokitaja kuwa amani.
Polisi wametoa onyo wakisema kuwa wale watakaokamatwa kwa kushiriki maandamano hayo watafungwa hadi mwaka mmoja.
EPA
Kumekuwa na maandamano ya kila mara miezi ya hivi karibuni yanayotaka kufanywa mabadiliko katika upigaji kura na kuondolea madarakani kwa Rais Robert Mugabe.


No comments:
Post a Comment