TANGAZO


Saturday, September 17, 2016

Watakaofanya maandamano Zimbabwe wapewa onyo kali

Maandamano yameshuhudiwa nchini Zimbabwe miezi ya hivi majuzi

Image copyrightAFP
Image captionMaandamano yameshuhudiwa nchini Zimbabwe miezi ya hivi majuzi
Serikali ya Zimbabwe imewaonya waandamanaji ikiwataka wazishiriki maandamano kwenye mji mkuu Harare.
Waziri wa mambo ya ndani alisema kuwa vikosi vya usalama vitalinda kwa ukamilfu kile alichokitaja kuwa amani.
Polisi wametoa onyo wakisema kuwa wale watakaokamatwa kwa kushiriki maandamano hayo watafungwa hadi mwaka mmoja.
Rais Robert Mugabe ana umri wa miaka 92Image copyrightEPA
Image captionRais Robert Mugabe ana umri wa miaka 92
Kumekuwa na maandamano ya kila mara miezi ya hivi karibuni yanayotaka kufanywa mabadiliko katika upigaji kura na kuondolea madarakani kwa Rais Robert Mugabe.

No comments:

Post a Comment