Watu 12 wameuawa katika milipuko miwili ya mabomu viungani mwa mji wa Damascus, katika eneo la madhabahu muhimu ya Waislamu wa madhehebu ya Shia.
REUTERS
Shirika la habari la kitaifa linasema mlipuko mmoja umetekelezwa na mshambuliaji wa kujitolea muhanga.
REUTERS
Mlipuko wa pili umetokana na bomu lililotegwa ndani ya gari.
AFP
Watu wawili wameuawa karibu na madhabahu ya Sayyeda Zeinab yanayoheshimiwa na Washia kote ulimwenguni.
AP
Eneo hilo limekuwa likilengwa kwa mabomu na wapiganaji wa Islamic State.


No comments:
Post a Comment