Mwenyekiti wa Chama cha Mpira Miguu Wanawake (TWFA) Bi. Amina Karuma akifafanua jambo wakati wa mkutano baina ya Naibu Waiziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia James Wambura (katikati) na wachezaji wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu Wanawake (Twiga Stars) leo jijini Dar es Salaam. Kulia niMakamu Mwenyekiti wa TWFA Bibi. Rose Kisiwa.
Meneja wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu Wanawake (Twiga Stars) Bibi. Furaha Francis akielezea jambo wakati wa mkutano baina ya Naibu Waiziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia James Wambura (hayupo pichani) na wachezaji wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu Wanawake (Twiga Stars) leo jijini Dar es Salaam.
Mchezaji wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya wanawake (Twiga Stars) Bi.Fatuma Omary akielezea jambo wakati wa mkutano baina ya Naibu Waiziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia James Wambura (hayupo pichani) na wachezaji wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu Wanawake (Twiga Stars) leo jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wachezaji wa Twiga Stars
wakifuatilia mkutano baina yao na Naibu Waiziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo Mhe. Anastazia James Wambura (hayupo pichani) leo jijini Dar es Salaam. (Picha zote na Frank Shija, WHUSM)






No comments:
Post a Comment