Meneja wa Mpango wa Uchangiaji wa hiari wa mfuko wa PSPF Bi. Mwanjaa Sembe (kushoto), akimkabidhi Mtangazaji wa kipindi cha
wanawake live, Bi. Joyce Kiria (kulia), kitambulisho cha uchangiaji wa hiari katika
mafunzo ya wajasiriamali yaliyofanyika
jijini Dar es Salaam jana.
Meneja
wa Mpango wa Uchangiaji wa Hiari wa
mfuko wa PSPF Bi. Mwanjaa Sembe akitoa mada katika mafunzo kwa
wajasiriamali yaliyofanyika jijini Dar es Salaamm jana.
Meneja
wa Mpango wa Uchangiaji wa Hiari wa
mfuko wa PSPF Bi. Mwanjaa Sembe akitoa mada katika mafunzo kwa
wajasiriamali yaliyofanyika jijini Dar es Salaamm jana.
Baadhi ya wanachama wapya wa uchangiaji wa hiari wa mfuko wa PSPF, wakiuliza maswali mbalimbali katika mafunzo ya wajasiriamali yaliyofanyika jijini Dar es Salaam jana.
Mtangazaji wa kipindi cha wanawake live, Bi. Joyce Kiria, akizungumza katika hafla hiyo.
|
No comments:
Post a Comment