Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe.
Mohamed Chande Othman akimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt.John Pombe Magufuli kwa kutimiza ahadi yake ya kuipatia Mahakama kiasi cha
shilingi Bilioni 12.3. zitakazotumika
katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo uboreshaji
wa miundombinu ya Mahakama na ujenzi wa Mahakama mpya katika maeneo mbalimbali
nchini. Kulia ni Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Harrison Mwakyembe na Waziri
wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango (kushoto).
Waziri wa Sheria na Katiba, Dk. Harrison Mwakyembe, akizungumza.
No comments:
Post a Comment