Wakuu wa Idara na Vitengo wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakiweka Ahadi za Uadilifu katika fomu maalum wakati wa zoezi hilo lililoratibiwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw.HAB Mkwizu mapema leo jijini Dar es Salaam.
Wakuu wa Idara na Vitengo wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakila kiapo cha Uadilifu kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw.HAB Mkwizu (kushoto) mapema leo.
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw.HAB Mkwizu (kushoto) akimkabidhi Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji wa Maadili wa Ofisi ya Rais-Utumishi Bw.Mathew Kirama fomu maalum ya kuweka Ahadi ya Uadilifu kwa Watumishi wa Umma mapema leo ofisini kwake.
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw.HAB Mkwizu akitia saini fomu ya Ahadi ya Uadilifu kwa watumishi wa Umma ya Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. Tixon Nzunda (kulia) ofisini kwake mapema leo.

No comments:
Post a Comment