![]() |
Meneja wa Azania Bank, Hajira Mmambe akitia saini katika kitabu cha wageni ofisini kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, Jeshi Lupembe (kulia).
|
![]() |
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, Jeshi Lupembe akipokea rasmi msaada kutoka benki ya Azania uliowasilishwa na Meneja wa benki hiyo, Hajira mmambe kwa ajili ya kufanyia usafi.
|











No comments:
Post a Comment