Ndugu Ali akimpatia maelezo Balozi Seif juu ya vipolo vya chenga chenga za Mipira zitakazokujapikwa kwa ajili ya utandikaji wa Tatani katika Uwanja wa Gombani.
Balozi Seif akionyesha furaha yake kutokana na kukamilika kwa vifaa kwa ajili ya utandikaji wa Tatani katika uwanja wa michezo wa Gombani Chake chake Pemba. Kushoto ya Balozi Seif ni Afisa Mdhamini Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Pemba Ndugu Ali Masoud Mohammed.
Balozi Seif wa pili kutoka Kushoto akiangalia moja ya Kigari kitakachotumika katika kazi ya utandikaji wa Tatani katika Uwanja wa Gombani Chake chake Pemba. (Picha zote na – OMPR – ZNZ)





No comments:
Post a Comment