![]() |
Baadhi ya wachezaji wa Stend United wakionyesha jezi watakazotumia msimu huu wa ligi kuu ya Vodacom mara baada ya kukabidhiwa vifaa mbalimbali na wadhamini wao kampuni ya ACACIA.
|
![]() |
Baadhi ya washabiki wa Stend United waliohudhuria wakati wa uzinduzi wa jezi mpya za timu hiyo ikiwa pia ni sehemu ya kusherekea udhamini wao na kampuni ya Uchimbaji wa madini ya ACACIA.
|
![]() |
Wachezaji wa Stend United wakionyesha jezi yao itakayokuwa ikitumika kwa michezo ya uwanja wa nyumbani na ile ya ugenini wakati wa msimu wa ligi kuu ya Vodacom.
|
![]() |
Wachezaji wa Stend United wakionyesha jezi watakazo zitumia katika msimu wa ligi kuu ya Vodacom.
|
![]() |
Wachezaji wa Stend United wakionyesha jezi watakazo zitumia katika msimu wa ligi kuu ya Vodacom.
|
![]() |
RC wa Shinyanga Ally Nassoro Rufunga akipokea jezi ya timu ya stend United kutoka kwa makamu wa rais wa ACACI, Deo Mwanyika.
|
![]() |
Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Mguu mkoa wa Shinyanga Benasta Lugola akipokea jezi ya timu ya stend United kutoka kwa makamu wa rais wa ACACI, Deo Mwanyika.
|
![]() |
Mashabiki wa Stend United waliojitokeza kusherekea udhamini wa timu yao katika uwanja wa Kambarage.
|
![]() |
Wachezaji wa Stend United wakifanya mazoezi mepesi muda mfupi kabla ya kuanza kwa mchezo.
|
![]() |
Timu za Olympic Stars yenye jezi ya bluu na timu ya Stand united yenye jezi ya rangi ya dhahabu zikiingia uwanjani tayari kwa mchezo wao wa kirafiki.
|
![]() |
Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Ally Nassoro Rufunga akisalimiana na Kapteini wa timu ya Olympic Stars ya Burundi.
|
![]() |
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Ally Nassoro Rufunga akisalimiana na kapteni wa timu ya Stand United Nassoro Masoud “CHORO”
|


























No comments:
Post a Comment