TANGAZO


Tuesday, May 19, 2015

MO akutana na Rais Filipe Nyussi wa Msumbiji jijini Dar es Salaam


IMG-20150518-WA0054
Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Kampuni za MeTL Group na Mbunge wa Jimbo la Singida mjini, Mh. Mohammed Dewji (kulia) katika picha ya pamoja na Rais wa Msumbiji, Mh. Filipe Nyusi walipokutana jijini Dar es Salaam. Rais huyo anayefanya ziara yake ya kwanza nje ya nchi kama Rais wa Msumbiji yuko katika ziara rasmi ya siku tatu nchini Tanzania.

No comments:

Post a Comment