TANGAZO


Tuesday, May 19, 2015

Kikao cha Bajeti cha Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma mjini Dodoma

Watendaji wa Ofisi ya Rais wakisikiliza uwasilishaji wa Bajeti ya Ofisi ya Rais kupitia Runinga, mjini Dodoma jana.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh. Celina O. Kombani (Mb) pamoja na Waheshimiwa Mawaziri walio Ofisi ya Rais, wakikutana na Watendaji wa Ofisi ya Rais wakati wa kuwasilisha bajeti ya Ofisi ya Rais Bungeni, mjini Dodoma jana.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh. Celina O. Kombani (Mb) pamoja na Waheshimiwa Mawaziri walio Ofisi ya Rais, wakikutana na Watendaji wa Ofisi ya Rais wakati wa kuwasilisha bajeti ya Ofisi ya Rais Bungeni, mjini Dodoma. (Picha zote na Happy Shayo)

No comments:

Post a Comment