Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama Barabarani Mkoa wa Iringa Salim Asas (kulia ), akimtazama mmoja kati ya majeruhi 22 waliolazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa ambao walipata ajali mbaya baada ya basi la majinja lenye namba za usajili T348 CDE kugongana na lori na kufunikwa na kontena lake jana eneo la Changalawe nje kidogo ya mji wa Mafinga ,katika ajali hiyo watu 42 walifariki dunia (Picha zote na Francis Godwin)
Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza wa pili kulia akiwa na viongozi mbali mbali wa tatu ni kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Ramadhan Mungi , akifuatiwa na mwenyekiti wakamati ya usalama barabarani mkoa wa Iringa Salim Asas na mkuu wa wilaya ya Mufindi Mboni Mhita jana walipofika eneo la ajali iliyoua 42 na kujeruhi 22.
Basi likiwa limefunikwa na kontena la Lori.
Basi lililopata ajali likiwa katika eneo la ajali.
Baadhi ya majeruhi wakiwa Hospitali ya Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa ambao, walipata ajali kupatiwa huduma ya tiba.
Eneo lililotokea ajali hiyo.
No comments:
Post a Comment