Afisa Habari wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Omega Ngole akiwaleza waandishi wa habari lengo la uanzishwaji wa Taasisi ya Mafunzo ya Vitendo kwa wahitimu wa shahada ya kwanza ya sheria ikiwa ni kuwaongezea ujuzi na stadi za kazi kwa ajili ya kutoa huduma bora na yenye tija ka wananchi, wakati wa ziara iliyofanywa kwenye Taasisi hiyo leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School) Bi. Scholastica Njozi.
Mwanafunzi wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School) Bw. Edwin Rwekaza akiwaleza waaandishi wa habari kuhusu msisitizo unaotolewa na Taasisi hiyo katika mafunzo kwa vitendo ili kuwaongezea ujuzi katika utekelazaji wa majukumu pindi watakapo hitimu, wakati wa ziara iliyofanywa kwenye Taasisi hiyo leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School) Bi. Scholastica Njozi.
Mhadhiri wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School) Emil Lukiko akiwaeleza jambo waandishi wa habari (Hawapo pichani) , wakati wa ziara iliyofanywa kwenye Taasisi hiyo leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School) Bi. Scholastica Njozi.
Mkuu wa Kitengo cha Mitihani wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School) Ipyana Mwaikambo akiwaeleza waandishi wa habari (Hawapo pichani), Kuhusu idadi ya wanafunzi waliodahiliwa toka Taasisi hiyo imeanzishwa ambapo alisema zaidi ya wanafunzi 4000 wameshadahiliwa mpaka sasa, wakati wa ziara iliyofanywa kwenye Taasisi hiyo leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School) Bi. Scholastica Njozi.
Ofisa Habari wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Omega Ngole akiwaleza waandishi wa habari lengo la uanzishwaji wa Taasisi ya Mafunzo ya Vitendo kwa wahitimu wa shahada ya kwanza ya sheria ikiwa ni kuwaongezea ujuzi na stadi za kazi kwa ajili ya kutoa huduma bora na yenye tija ka wananchi.
Jengo la Kufundishia(Teaching Block) katika Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School) lenye vyumba 2 vya mihadhara(lecture rooms) vyenye uwezo wa kuingiza wanafunzi 460 kila chumba, vyumba 72 vya semina.
Jengo la Mahakama ya kujifunzia (Teaching Court) lililopo katika Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School) litalofungwa Video Link ili wanafunzi waweze kujionea moja kwa moja namna kesi zinavyoendeshwa. Muonekano wa ndani wa Chumba cha Mahakama katika Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School)
10- Muonekano wa ndani wa chumba mihadhara(lecture rooms)
(Picha na Hassan Silayo- MAELEZO)
Mwanafunzi wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School) Bw. Edwin Rwekaza akiwaleza waaandishi wa habari kuhusu msisitizo unaotolewa na Taasisi hiyo katika mafunzo kwa vitendo ili kuwaongezea ujuzi katika utekelazaji wa majukumu pindi watakapo hitimu, wakati wa ziara iliyofanywa kwenye Taasisi hiyo leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School) Bi. Scholastica Njozi.
Mhadhiri wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School) Emil Lukiko akiwaeleza jambo waandishi wa habari (Hawapo pichani) , wakati wa ziara iliyofanywa kwenye Taasisi hiyo leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School) Bi. Scholastica Njozi.
Mkuu wa Kitengo cha Mitihani wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School) Ipyana Mwaikambo akiwaeleza waandishi wa habari (Hawapo pichani), Kuhusu idadi ya wanafunzi waliodahiliwa toka Taasisi hiyo imeanzishwa ambapo alisema zaidi ya wanafunzi 4000 wameshadahiliwa mpaka sasa, wakati wa ziara iliyofanywa kwenye Taasisi hiyo leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School) Bi. Scholastica Njozi.
Ofisa Habari wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Omega Ngole akiwaleza waandishi wa habari lengo la uanzishwaji wa Taasisi ya Mafunzo ya Vitendo kwa wahitimu wa shahada ya kwanza ya sheria ikiwa ni kuwaongezea ujuzi na stadi za kazi kwa ajili ya kutoa huduma bora na yenye tija ka wananchi.
Jengo la Kufundishia(Teaching Block) katika Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School) lenye vyumba 2 vya mihadhara(lecture rooms) vyenye uwezo wa kuingiza wanafunzi 460 kila chumba, vyumba 72 vya semina.
Jengo la Mahakama ya kujifunzia (Teaching Court) lililopo katika Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School) litalofungwa Video Link ili wanafunzi waweze kujionea moja kwa moja namna kesi zinavyoendeshwa. Muonekano wa ndani wa Chumba cha Mahakama katika Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School)
10- Muonekano wa ndani wa chumba mihadhara(lecture rooms)
(Picha na Hassan Silayo- MAELEZO)
Na Frank
Mvungi-Maelezo
SERIKALI itumia zaidi ya Bilioni 16 kujenga Taasisi ya mafunzo ya uanasheria
kwa vitendo (the law school of Tanzania).
Hayo
yamesemwa leo jijini Dar es salaam na
Msemaji wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Omega Ngole wakati wa ziara ya
waandishi wa habari katika taasisi hiyo iliyolenga kuona hatua iliyofikiwa
tangu kuanza kwa ujenzi wake mwaka 2010.
“Baada
ya kukamilika kwa ujenzi huu mwaka 2013 uendeshaji wa mafunzo ulihama
kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam na
kuanza kutumika kwa majengo haya ya kisasa yaliyojengwa na Serikali kupitia
Wizara ya Katiba na sheria”
Akifafanua
Ngole amesema ujenzi huo umehusisha ujenzi wa Mahakama ya mafunzo, (Teaching
Court) vyumba vya madarasa (leacture theartres),Maktaba ya Kisasa (Library) Jengo
la Utawala ( Admistration block) Mgahawa na nyumba za watumishi.
Pia
Ngole alitoa wito kwa wanasheria wote wanaohitimu katika Taasisi hiyo kuwa
tayari kutoa huduma popote pale nchini Tanzania kwa kuwa Serikali imetumia
fedha nyingi kuanzisha Taasisi hiyo ili iwanufaishe wananchi wote.
Kwa
upande wake Mkuu wa Kitengo cha mitihani
bw. Ipyana Mwaikambo alisema Taasisi hiyo imeshadahili wanafunzi zaidi
ya 4000 toka kuanzishwa kwake mwaka 2008 hadi sasa.
Naye
Mmoja wa wanafunzi wa Taasisi hiyo Bw. Edwin Rweykaza amesema Taasisi hiyo
inatoa msisitizo katika mafunzo ya vitendo na kuwajengea uwezo wa kutimiza
majukumu yao mara baada ya kuhitimu.
Kuhusu
maadili Rweykaza alibainisha kuwa ni
swala linalopewa kipaumbele kwa wanafunzi wote wanaojiunga na Taasisi hiyo.
Serikali
imetimiza ndoto ya miaka mingi ya
kujenga majengo ya kisasa ya Taasisi ya Mafunzo ya uanasheria kwa vitendo
Tanzania (The law school of Tanzania) inayotoa mafunzo kwa vitendo kwa wahitimu
wa shahada ya kwanza ya sheria wanaotarajia kufanya kazi kama mawakili kwa
lengo la kuongeza stadi na ujuzi wa wanasheria hao katika kuwahudumia wananchi.
No comments:
Post a Comment