Bw.
Iddy Hassan Mashanga kutoka Kampuni ya Bima ya Light Peace, akipokea
zawadi ya printer kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaj wa Kampuni ya Bima
ya Jubilee Tanzania, Bw.
George Allande wakati wa hafla ya utoaji tuzo kwa mawakala wanaofanya
kazi kwa kushirikiana na kampuni ya Bima
ya Jubilee Tanzania. Hafla hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki, jijini Dar es Salaam.(Picha zote na mpigapicha wetu)



No comments:
Post a Comment