TANGAZO


Wednesday, July 10, 2013

Rais wa Zanzibar akutana na Spika wa Bunge la Korea Kusini

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Spika wa Bunge la Jamhuri ya  Korea Kusini, Kang Chang Hee, alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na ujumbe wake leo. (Picha  zote na Ramadhan Othman, Ikulu)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na Spika wa Bunge la Jamhuri ya  Korea Kusini, Kang Chang Hee, mara baada ya mazungumzo yao, alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na ujumbe wake leo.

No comments:

Post a Comment