Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Korea Kusini, Kang Chang Hee, alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na ujumbe wake leo. (Picha zote na Ramadhan Othman, Ikulu)
No comments:
Post a Comment