TANGAZO


Sunday, June 30, 2013

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU ZIARA YA RAIS OBAMA NCHINI TANZANIA


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe

Rais wa Marekani, Mhe. Barack Obama anatarajiwa kuwasili nchini tarehe 01 Julai, 2013 mchana kwa ziara ya kitaifa ya siku mbili.

Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam, Mhe. Rais Obama ambaye atafuatana na Mkewe Mama Michelle atapokelewa na Mwenyeji wake, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.

Baada ya mapokezi, Mhe. Rais Obama atakwenda Ikulu kwa mazungumzo rasmi na Mhe. Rais Kikwete. Aidha, atafanya mkutano na Wafanyabiashara na kuhudhuria Dhifa ya Kitaifa.

Tarehe 2 Julai 2013, Mhe. Rais Obama atatembelea Mitambo ya kufua Umeme ya Symbion iliyopo Ubungo, Dar es Salaam na kuzindua rasmi Mpango Maalum wa Maendeleo ya Nishati Barani Afrika ulioanzishwa na Marekani (Power Africa Initiative).

Mpango huo utaanza na nchi saba ambazo ni: - Tanzania, Kenya, Uganda, Ethiopia, Ghana, Nigeria na Sudan Kusini.

Mhe. Rais Obama anatarajiwa kuondoka nchini tarehe 02 Julai 2013.


IMETOLEWA NA: WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA, DAR ES SALAAM

30 JUNI, 2013

Zanzibar yaadhimisha Siku ya Usalama Barabarani


Kaskazini Unguja yaongoza kwa ajali barabarani

Askari Jamii wakiwa kwenye mandamo wakipita mbele ya mgeni rasmi (hayupo pichani), katika kilele cha Madhimisho ya wiki ya Safiri Salama, huko katika Kiwanja cha Polisi Mahonda, Zanzibar leo.  (Picha zote na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar)
Meneja Kitengo cha Maradhi yasiyoambukiza kutoka Wizara ya Afya Zanzibar, Omar Mwalim Omar, akitoa nasaha zake kwa madereva kwa kuwataka kupunguza ajali za makusudi, wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Safiri Salama, huko Mahonda, yaliodhaminiwa na Wizara ya Afya na Jeshi la Polisi Zanzibar.
Kamishna wa Polisi Zanzibar Mussa Ali Mussa akiwahutubia wananchi katika madhimisho ya Wiki ya Safiri Salama. Kulia ni Meneja wa Kitengo cha Maradhi yasiyoambukiza kutoka Wizara ya Afya Zanzibar, Omar Mwalim na kushoto ni Mkuu wa Wilaya Mkoa wa Kaskazini (B), Khamia Jabir, huko katika Kiwanja cha Polisi Mahonda Mkoa wa Kaskazini (B).


Na Salum Vuai, Maelezo
WATU 52 wamepoteza maisha na wengine 332 wamejeruhiwa kutokana na ajali 175 za barabarani zilizotokea katika Mkoa wa Kaskazini Unguja, kati ya Januari mwaka 2011 hadi katikati ya mwaka 2013.

Takwimu hizo zimetolewa leo na Mkuu wa Usalama Barabarani wa jeshi la Polisi mkoani humo, Ali Muhsin, wakati wa kilele cha maadhimisho ya wiki ya ‘Safiri Salama’, yaliyofanyika katika Viwanja vya Mahonda, Wilaya ya Kaskazini B, Unguja.

Mkuu huyo alisema, ajali za barabarani ni tishio kubwa kwa watumiaji  wote wa barabara, wakiwemo madereva, abiria na watembeao kwa miguu, na kwamba tahadhari kubwa inahitaji kuchukuliwa kuziepuka.

Alieleza kuwa, endapo watumiaji wa barabara hawatakuwa waangalifu, majanga ya maafa, ulemavu wa kudumu, majeraha, hasara kwa mali na uharibifu wa miundombinu, vitaendelea kuliandama taifa.

Alitaja sababu mbalimbali zinazochangia ajali hizo, kuwa ni uhaba wa miundombinu imara, ubovu wa vyombo vya moto, mabadiliko ya hali ya hewa, utendaji mbaya wa wasimamizi wa sheria za usalama barabarani na kasoro za kibinadamu.

Ili kumaliza au kupunguza ajali za barabarani, Muhsin alisema hatua kadhaa zinapaswa kuchukuliwa, ikiwemo kutoruhusu magari na vyombo vyengine visiingizwe barabarani hadi vithibitishe kuwa na sifa kwa mujibu wa sheria.

Aidha alishauri vyombo vyenye majukumu ya kutoa huduma kwa umma na kusimamia sheria kama vile polisi, mahakama, Idara ya Usafiri na Leseni, Bodi ya Mapato Zanzibar na vyengine, vitekeleze majukumu yao kwa uadilifu na uaminifu.   

Kwa upande wake, mgeni rasmi katika sherehe hizo Kamishna wa Polisi Zanzibar Mussa Ali Mussa, alisema ajali za barabarani ndizo zinazoongoza kwa kuua watu wengi, kuliko vifo vitokanavyo na sababu nyengine.

Alieleza, takwimu zinaonesha kuwa, takriban watu milioni moja na laki mbili hufariki kwa ajali hizo kila mwaka duniani kote.

Kwa Zanzibar, alisema ajali 3869, zimeripotiwa kutokea kati ya mwaka 2009 hadi 2012, ambapo kati ya hizo, watu 450 walipoteza maisha, na 3855 walipata majeraha mbalimbali.

Kamishna huyo aliongeza kuwa, kwa kipindi cha Januari hadi Machi mwaka 2013, jumla ya ajali 196 zimeripotiwa, ambazo zimesababisha vifo vya watu 24 na majeruhi 258.

Aidha alisema, ukiondoa Mkoa wa Mjini Magharibi, Mkoa wa Kaskazini Unguja ndio unaoongoza kwa ajali nyingi za barabarani, kulinganisha na mikoa mingine minne Unguja na Pemba.    

Alifahamisha kuwa, kwa kutambua uzito wa jambo hilo, Jeshi la Polisi kamisheni ya Zanzibar, limekuwa likifanya jitihada mbalimbali kwa kushirikiana na wadau wote wa matumizi ya barabara ili kuimarisha usalama wa watumiaji.

Aliwataja wadau hao kuwa, ni jamii yote ya Zanzibar, taasisi za serikali na binafsi, ikiwemo Bodi ya Mapato Zanzibar na Wizara ya Afya, ambayo imeshirikiana kikamilifu na jeshi hilo kufanikisha wiki hiyo ya ‘Safiri Salama’.

Hata hivyo, alikumbusha kuwa, jukumu la kuhakikisha usalama wa barabarani la jeshi la polisi pekee, bali ni la kila mmoja kwa nafasi yake, huku akisisitiza matumizi mazuri ya barabara ikiweemo kuzitunza badala ya kuziharibu kwa visingizio mbalimbali, pamoja na kung’oa vyuma vya alama za barabarani.

Naye Meneja wa kitengo cha maradhi yasiyoambukiza kutoka Wizara ya Afya Omar Mwalimu, alisema hospitali kuu ya Mnazimmoja, imekuwa ikipokea majeruhi na maiti wengi kutokana na athari za ajali za barabarani, na kusema zinailazimu serikali kutumia fedha nyingi nje ya bajeti yake, kuwatibu watu wanaopatwa na ajali.

Wiki ya ‘Safiri Salama’ ilianza tarehe 24 Juni mwaka huu, kwa mikutano ya kutoa elimu kwa watumiaji wa barabara, kama vile madereva na makondakta, wanafunzi, mabagwani na wananchi wengine wa Mkoa wa Kaskazini.   

Sherehe hizo zilizopambwa kwa burudani mbalimbali zilizobeba ujumbe wa usalama barabarani kutoka kwa kikundi cha Black Roots chini ya msanii Makombora na utenzi, zilihudhuriwa pia na Wakuu wa Wilaya za Kaskazini B, Khamis Jabir Makame na Riziki Juma Simai wa Kaskazini A, pamoja na makamada wa Polisi wa mikoa mitatu ya Unguja.

Maandamano dhidi ya rais Morsi yaanza


Waandamanaji nchini Misri
Raia wa Misri wamefanya maandamano makubwa kote nchini kumshinikiza rais wa taifa hilo Mohammed Morsi, kujiuzulu wakati wa maadhimisho yake ya kwanza tangu achukue hatamu ya taifa hilo.
Ijapokuwa barabara za mji wa Cairo zina utulivu kufikia sasa, maafisa wa polisi wamewekwa katika kila sehemu ili kuzuia ghasia.
Wapinzani wa rais huyo wanamkashifu kwa kushindwa kutatua maswala ya kimsingi kama vile uchumi pamoja na usalama na kudai kuwa zaidi ya raia millioni 22 wametia sahihi ya kutaka uchaguzi mpya kufanyika mara moja.
Aidha wanadai kuwa rais Morsi, ameweka ajenda ya Kiislamu ya chama chake cha Muslim brotherhood mbele kushinda mahitaji ya raia wa taifa hilo.
Wafuasi wa rais huyo pia wameapa kufanya mikutano ya hadhara kumuunga mkono kiongozi wao.

Kiongozi wa Al Shabaab ajisalimisha


Hassa Dahir
Mmoja wa viongozi wakuu wa zamani wa kundi la wapiganaji wa Al-shabaab, Hassa Dahir Aweyes amewasili mjini Mogadishu chini ya ulinzi mkali wa vikosi vya serikali.
Hata hivyo haijulikani iwapo kiongozi huyo amesalimu amri au ameamua kujiunga na vikosi hivyo vya serikali.
Ijumaa iliopita, umoja wa mataifa ulitangaza kuwa Bwana Hassa Dahir alikuwa amejisalimisha kwa vikosi vya serikali ya Somali lakini madai hayo yakapingwa na wazee wa koo za taifa hilo.
Kiongozi huyo alikuwa amechukua hifadhi katika mji wa Kazkazini wa Adado baada ya makabiliano makali kuzuka kati ya kambi tofauti za wapiganaji wa Al Shabaab juma lililopita.
Kiongozi huyo ametajwa kama gaidi na umoja wa mataifa pamoja na serikali ya marekani.

Idadi ya watu waliokufa Uganda imefika 33


Ramani ya Uganda
Moto mkubwa uliowaka baada ya ajali mbaya ya barabarani iliohusisha lori la mafuta, umewauwa takriban watu 33 mjini kampala Uganda.
Watu wengine 30 wanadaiwa kujeruhiwa vibaya kufuatia tukio hilo.
Maafisa wa polisi wanasema kuwa kati ya waliofariki ni raia waliokuwa wanakimbilia eneo hilo la mkasa kuteka mafuta yaliokuwa yakivuja kutoka kwa lori hilo.
maafisa wa serikali walikuwa katika harakati za kutambua mili ya waliofariki baada ya wengi wao kuchomeka vibaya.
Idara ya polisi imesema kuwa waliofariki waliteketea kiasi cha kutotambulika na itabidi watumie utaalamu wa vinasaba au DNA kutambua miili ya waliokufa.

Good luck hugs for cousin Andy: Murray's relatives rally round on rest day as he prepares for fourth round clash tomorrow


  • .Murray seen spending time with his 10-year-old cousins
  • .Laura Robson hit the court to prepare for tomorrow's crunch match 
  • .Tickets in hot demand for two British hopefuls tomorrow
  • .Fans have been queuing for two days for highly sought-after clashes
  • .Resold tickets for tomorrow  have been selling for £4,000 a pair

Fans were treated to a side of Andy Murray not often seen today as he spent some time with his two young cousins as he prepares for his crunch match with Mikhail Youzhny for a place in the quarter finals.
The British number one was seen chatting to and hugging his two young cousins, 10-year-old twins Cora and Ailsa Erskine, at the The All England Lawn Tennis and Croquet Club in Wimbledon, south London.
And girl-of-the-moment Robson was also on-court today, preparing for her crunch battle with Estonia's Kaia Kanepi.
Andy MurraAndy Murray chats with his two young cousins as he leaves during a practice session at The All England Lawn Tennis and Croquet Club, Wimbledon
Andy Murray chats with his two young cousins as he leaves during a practice session at The All England Lawn Tennis and Croquet Club, Wimbledon. Some fans have spent the entire weekend camped out for tickets for tomorrow
Smiles: 10-year-old twins Cora (left) and Ailsa (right) on the practice courts
Cousin Andy: The tennis star shares a tender moment with the 10-year-old
Cousin Andy: The tennis star shares a tender moment with 10-year-old Ailsa. Right picture, the 10-year-old twins Cora (left) and Ailsa (right) on the practice courts
Murray's brother Jamie is also on court tomorrow with his mixed doubles partner, Su-Wei Hsieh of Taipei.
They looked set to lose to Jean-Julien Rojer of the Netherlands and Russia’s Vera Dushevina when the match was halted due to fading light on Saturday.
 
There may be no on-court action at Wimbledon today, but there is still excitment in the air as tennis fans camp out for up to two days to get tickets for 'Mega Monday'.
As anticipation builds for Andy Murray and Laura Robson's clashes tomorrow resold tickets are selling for £4,000-a-pair, while the men’s final tickets are soaring towards an eye-watering £30,000-a-pair.
Four million are expected to watch on BBC TV as Murray, 26, tackles Russia’s Mikhail Youzhny and Robson, 19, faces Estonia’s Kaia Kanepi - as Britain savours having a man and woman in the fourth round for the first time since Tim Henman and Sam Smith in 1998.
Kiss goodbye: Many see this year's tournament as Murray's best chance to win so far, after Federer and Nadal went out early
Kiss goodbye: Many see this year's tournament as Murray's best chance to win so far, after Federer and Nadal went out early
Fan favourite: A relaxed-looking Andy Murray signs autographs for fans at the end of his practice session
Fan favourite: A relaxed-looking Andy Murray signs autographs for fans at the end of his practice session
Some fans have camped two nights since Saturday to get hold of 500 on-the-day £86 tickets for Centre Court - which includes Murray’s match - and 500 £69 seats for No 1 Court, where Robson will play.
Wimbledon’s No 1 fan Sue Callaghan, 60, from Surrey, who has queued at every tournament for 40 years and camped for Monday, said: 'I think Murray will win it this year - and Robson’s doing really well too.'
Family: Murray shares a tender moment with his two young cousins
Family: Murray shares a tender moment with his two young cousins
The cheapest resold tickets for Centre Court were £4,371-a-pair with online ticket agency Viagogo.
The lowest-price seats for No 1 Court were £3,910-a-pair with eBay’s StubHub ticket arm.
Viagogo said the number of ticket searches on its site were a record-breaking four times higher than at the same stage of last year’s tournament.
Men’s final tickets now cost up to £23,609 per pair, with the cheapest pair at £8,855, higher than the same stage of last year’s Wimbledon.
Viagogo said ticket prices were expected to leap up again as Murray progresses. Maximum prices are expected to close in on £30,000 per pair of tickets
A Viagogo spokespeson said: 'This Wimbledon has seen record ticket demand and we expect further increases if Murray advances.'
But, amid fears of fans being tempted into paying sky-high prices they cannot afford, Wimbledon chiefs say they are 'not concerned' about resold ticket prices.
Wimbledon spokesman Jon Friend said: 'The price of resold tickets is beyond our control. Debenture tickets are allowed to be resold and the price is controlled by the market, not us.'
All England Club chief executive Richard Lewis said: 'It’s symbolic of how popular tickets are. It’s not something that causes us huge concern because it’s a legitimate market.'
Mounting pressure: Great Britain's Andy Murray and coach Ivan Lendl during a practice session today. Anticipation for the Scotsman's match against Mikhail Youzhny is at fever pitch
Mounting pressure: Great Britain's Andy Murray and coach Ivan Lendl during a practice session today. Anticipation for the Scotsman's match against Mikhail Youzhny is at fever pitch
Andy Murray of Britain warms up during a training session
Murray leaves after finishing training today
Murray leaves after finishing training today (left). Right, the British number one warming up
Dominant: Murray has not dropped a single set in his campaign so far
Dominant: Murray has not dropped a single set in his campaign so far
But queuing fans branded Wimbledon chiefs a 'disgrace' after it emerged bosses sold up to 600 face-value Centre Court tickets for tomorrow via a hush-hush internet sale at 9am yesterday. 
Many fans are unaware tickets are sold the day before each day’s play via Ticketmaster as news of the sale is buried at the bottom of the Wimbledon website’s ticket information page.
Scottish fan Cameron Kennedy, 16, a student who lives in Berkshire and has family on the Isle of Arran, said: 'I had no idea tickets were sold via Ticketmaster. It’s not fair.
'The extra tickets should be given to fans who queue, as they are the ones who make the effort.'
Murray is joined in the fourth round by Laura Robson after she beat Marina Erakovic to book a meeting with Estonia's Kaia Kanepi
Murray is joined in the fourth round by Laura Robson after she beat Marina Erakovic to book a meeting with Estonia's Kaia Kanepi
Laura Robson practices her ball skills at Wimbledon today. She is the first British woman to reach the fourth round since 1998
Laura Robson practices her ball skills at Wimbledon today. She is the first British woman to reach the fourth round since 1998
Expectation has been mounting on the hard-battling 19-year-old
Expectation has been mounting on the hard-battling 19-year-old
Some fans who queued have complained that some tickets were quietly sold online
Some fans who queued have complained that some tickets were quietly sold online
Robson stays hydrated in the blistering sun today
Robson applies sun block as the sun beat down on what could be the hottest day of the year
Robson applies sun block (left) and stays hydrated (right) as the sun beat down on what could be the hottest day of the year
Daniel McNulty, 25, an aircraft engineer from Liverpool, said: 'It’s disgraceful. Selling via the internet is not fair for fans like us who camp to get tickets.'
Scottish fan Scott Moorhead, 18, a student who lives in Cheshire and has family in Glasgow, who camped overnight for tickets, said: 'I’d be gutted if I was above 500th in the queue and missed out on Centre Court while people bought tickets online.'
Wimbledon spokesman Jon Friend said: 'Several hundred Centre Court tickets are sold via Ticketmaster each day.
'There are plenty of tickets on offer for the queue.'

How dairy


— Everton ace cheats by telling blonde he's a milkman 
— £45k-a-week Distin's 3-year fling with air hostess 
— Defender has daughter with his long-term partner 
— French star has warned players off 'booze and birds'

Katie Hulne Sylvain Distin lover
Lover ... 'naive' air hostess Katie Hulne fell for Sylvain Distin's lines

FOOTBALL star Sylvain Distin had a three-year fling with a blonde after telling her he was a MILKMAN.

The Everton love cheat later claimed he was a professional TENNIS PLAYER and a CYCLIST.
When trusting Katie Hulne saw a snap of the £45,000-a-week French defender in his kit he said it was his twin.
And, when she finally discovered he had a long-term partner, he lied that they were only together for the sake of their daughter.
Sylvain Distin sex text pic
Saucy snaps ... Distin sex text pic
Brad Wakefield
Last night a friend said: “We told Katie she was being naive. She was devastated.
“He was quite filthy which really surprised Katie but turned her on. Maybe now she’ll realise he was acting like so many other footballers — having his cake and eating it.”
Just four months ago Distin, 35 — who has boasted of being a family man — warned other players to keep away from “booze and birds” if they wanted to make it big in the Premier League.
He told France Football magazine: “The nightlife is far crazier. People drink far more and things are hotter in every respect.
“When you come here you need to take care not to fall into these traps.
“It’s often your education and the people around you that can make the difference.”
Despite the sermon, Distin wooed air stewardess Katie, 39, with a string of increasingly racy texts and sent her naked photos.
They had sex in cars and up against a tree in woods. On one birthday he sang Happy Birthday “Big T*ts” in French.
Katie first met Sylvain on a night out near his home in Hale, Cheshire, in December 2009.
She chatted to a group of lads at the next table — including former Everton striker James Beattie and goalie Tim Howard. But she only had eyes for 6ft 4in Distin.
Sylvain Distin playing for Everton
Player ... veteran Everton defender Sylvain Distin
He told her he was a milkman and the pair swapped numbers.
They texted each other repeatedly, with the footballer posing as a tennis pro and a cyclist.
The pal said: “Katie had no idea who he was.
“He had such a good body that she thought he must do a lot of sport but she was a bit confused.
“She fancied the pants off him but it was just daft flirting to begin with.”
They eventually met up in a hotel in Hale in March 2010, laying on the bed and talking for four hours.
Distin then left with Katie assuming he simply did not fancy her — but he was soon bombarding her with texts and demands for naughty pictures.
The messages got more saucy, with the former Manchester City and Portsmouth star confessing he was “horny” for her.
They met again at the same hotel ahead of the 2010 season. The friend said: “Katie was really nervous and had dressed up specially.
“He made the first move to kiss her. Her legs turned to jelly and they were at it like rabbits.”
Distin did not stay the night and left cash by the bed to pay for the room.
When they chatted on BlackBerry Messenger his profile picture showed him in full Everton kit.
Yet he still pretended he was not a footballer and claimed the snap was of his “twin brother”.
The friend said: “Katie is really sweet and trusted him. She said the sex was amazing and that he was incredibly ‘gifted’. He called her sexy and couldn’t get enough of her bum.”
She learned the truth about his job and they continued meeting once or twice a month, unless he was on holiday with his family.
Sylvain Distin lover Katie Hulne
Night out ... Katie with pals
Brad Wakefield
When they were apart the pair exchanged explicit texts.
Often he posed naked or shirtless from away-game hotels to show off the formidable physique that had teammates nickname him Cyborg.
In May 2012 he texted from Birmingham asking for pictures and saying he “couldn’t wait”.
In September — after Everton lost a cup game in Leeds despite him scoring — he rushed straight to see Katie still in his kit.
The pal said: “They would often meet for sex in either his car or hers.
“Sylvain would be careful — he has a distinctive Bentley so he never used that.
“He liked it rough and they even did it in woods near his home and up against a tree.”
But despite his wealth, he never bought her any gifts — not even for Christmas or her birthday.
Katie eventually found out about his partner but hoped he would leave her.
The friend said he claimed “things were not great at home” and that they had just “grown apart”.
The affair continued until last month when he went on holiday to France with his family.
Distin is regarded within the game as a model professional who often does charity work.
And speaking about his personal life, he bragged: “I am really close to my family and luckily I have good people around me who I can talk about things with.”
Distin had a season on loan to Newcastle before he left Paris Saint-Germain on a full-time switch to City in 2002.
He moved to Pompey in 2007 and helped them win the FA Cup in 2008 before leaving for Everton in 2009. He was the first foreign player to reach 400 Premier League appearances.
Last night Everton — club motto Nothing But The Best Is Good Enough — refused to comment.
But earlier this year Prime Minister David Cameron called on high-profile footballers to behave as if they were role models to millions.
Sylvain Distin sex texts
Toned ... Distin texted pic of his physique
Brad Wakefield
Following the furore over Liverpool’s Luis Suarez biting a rival player’s arm, he spoke in general terms about footballers’ influence on the nation’s children.
He said: “When we are trying to bring up our children properly and they love football, they do look at football players as role models and we have to recognise that.
“The fact is you can’t wrap children in cotton wool and hide them away from the world.
“They do see these real-life examples and repeat them back to you.”

3 who played away

Patrice Evra and Scott Sinclair sex texts
Rats ... Patrice Evra, left, and Scott Sinclair
DISTIN is just the latest ace revealed as a love rat by The Sun this year.
Earlier this month we told how Manchester City’s Scott Sinclair went behind the back of his girlfriend, TV babe Helen Flanagan, to send raunchy texts to telly presenter Donatella Panayiotou.
Last month we reported ex-England striker and TALKsport radio host Stan Collymore cheated on his fiancée with a girl now claiming she was expecting twins.
And in February Playboy bunny Carla Howe said she shared a night of passion in a Paris hotel with married Manchester United ace Patrice Evra.