TANGAZO


Wednesday, April 10, 2013

Kaimu Mkaguzi Mkuu wa ndani, afungua kikaokazi kwa wakaguzi wa ndani wa Sekretarieti za Mikoa ya Tanzania bara jijini Dar es Salaam

Kaimu Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali kutoka Idara ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali, Constantine Mashoko (kulia), akifungua kikao kazi kwa wakaguzi wa ndani wa Sekretarieti za mikoa ya Tanzania bara leo, jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali Msaidizi –Technical Audit – Amin Mcharo. Kikao hicho kilenga kutathmini jukumu la wakaguzi wa ndani.

Kaimu Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali kutoka Idara ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali Constantine Mashoko (kulia) akifungua kikao kazi kwa Wakaguzi wa Ndani wa Sekretarieti za mikoa Tanzania bara jana jijini Dar es salaam. Kushoto ni Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali Msaidizi –Technical Audit – Amin Mcharo. Kikao hicho kilenga kutathmini jukumu la wakaguzi wa ndani.
Baadhi ya washiriki wa kikao kazi cha Wakaguzi wa Ndani  wakifuatilia hotuba ya Kaimu Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikalii Constantine Mashoko (hayupo pichani) akifungua kikao kazi kwa Wakaguzi wa Ndani wa Sekretarieti za mikoa Tanzania bara jana jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali kutoka Idara ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali Constantine Mashoko (kulia) akifungua kikao kazi kwa Wakaguzi wa Ndani wa Sekretarieti za mikoa Tanzania bara jana jijini Dar es salaam. Kushoto ni Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali Msaidizi –Technical Audit – Amin Mcharo. Kikao hicho kilenga kutathmini jukumu la wakaguzi wa ndani.
Baadhi ya washiriki wa kikao kazi cha Wakaguzi wa Ndani  wakifuatilia hotuba ya Kaimu Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikalii Constantine Mashoko (hayupo pichani) akifungua kikao kazi kwa Wakaguzi wa Ndani wa Sekretarieti za mikoa Tanzania bara jana jijini Dar es Salaam.

 Baadhi ya washiriki wa kikao kazi cha Wakaguzi wa Ndani  wakiwa katika pamoja na  Kaimu Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikalii Constantine Mashoko baada ya kufungua kikao kazi kwa Wakaguzi wa Ndani wa Sekretarieti za mikoa Tanzania bara jana jijini Dar es salaam. (Picha zote na MAELEZO_Dar es Salaam)

No comments:

Post a Comment