![]() |
Mashabiki wa Yanga, wakifuatilia mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom kati ya timu hiyo na Prison, uliochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo. Yanga ilishinda mabao 3-1. (Picha zote na Kassim Mbarouk)
|
![]() |
| Athuman Idd 'Chuji' wa Yanga (kulia), akipambana na Lugano Mwangama wa Prison katika mchezo huo. |
![]() |
| Athuman Idd 'Chuji' wa Yanga (kulia), akipambana na John Matei wa Prison katika mchezo huo. |
![]() |
| Ubao wa matangazo ukionesha hali ilivyokuwa baada ya kuanza kipindi cha pili cha mchezo huo, ambao kipindi cha kwanza hadi kinamalizika, timu hizo zilikuwa sare kwa kufungana bao 1-1. |
![]() |
| Nurdin Issa wa Prison, akituliza mpira huku akifuatwa na Juma Abdul wa Yanga wakati wa mchezo huo. |
![]() |
| Nurdin Issa wa Prison na Juma Abdul wa Yanga, wakikimbilia mpira uliokuwa mbele yao wakati wa mchezo huo. |
![]() |
Nurdin Issa wa Prison, akimtoka Hamis Kiiza wa Yanga katika mchezo huo.
|
![]() |
| Juma Abdul wa Yanga, akipita katikati ya Nurdin Issa (28) na Julius Kwanga wa Prison, wakati wa mchezo huo. |
![]() |
| Hamis Kiiza wa Yanga, akijaribu kuwapita katikati ya Nurdin Issa (kushoto) na Julius Kwanga wa Prison, wakati wa mchezo huo. |
![]() |
Hamisi Kiiza wa Yanga (kulia), akiwania mpira na Julius Kwanga wa Prison, wakati timu hizo zilipopambana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo.
|
![]() |
| Haruna Niyonzima (katikati) wa Yanga na mwenzake, Hamis Kiiza (kulia), wakimtoka Lugano Mwangama wa Prison. |
![]() |
Haruna Niyonzima (katikati) wa Yanga na mwenzake, Hamis Kiiza (kulia), wakimtoka Lugano Mwangama wa Prison.
|
![]() |
| Haruna Niyonzima wa Yanga, akimpiga chenga Nurdin Issa wa Prison. |
![]() |
| Hadi mwisho wa mchezo huo, ubao wa matangazo ulikuwa ukionekana Yanga 3, Prison 1. |















No comments:
Post a Comment