TANGAZO


Sunday, January 6, 2013

Waziri Mkuu Mizengo, awajulia hali majirani zake kijijini na kuwatakia heri ya Mwaka mpya

Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akiwasalimia majirani zake na kuwatakia heri ya Mwaka mpya wa 2013, kijijini kwao, Kibaoni, mkoani Katavi leo. Pichani anaonekana  akiwa Mzee Bernard Malyatabu Mayala (88) na mkewe Bibi Bernadetha Kabandime Msuluba (79). Waziri Mkuu yupo kijijini kwao, Kibaoni kwa mapumziko ya Krismasi na Mwaka mpya.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akizungumza na Mzee Bernard Malyatabu Mayala (88) na mkewe Bibi Bernadetha Kabandime Msuluba (79), alipokwenda kuwajulia hali kijijini kwake, Kibaoni ambako yapo kwa mapumziko ya Krismasi na Mwaka mpya.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda,  akiulizia bei ya nyama ya mbuzi, akiwa katika kijijini kwake Kibaoni, mkoani Katavi leo. (Picha zote na Chris Mfinanga)

No comments:

Post a Comment