![]() |
Wananchi wakivuka katika sehemu itakayojengwa darala la kisasa la Mbutu la Igunga ambao ujenzi wake umezinduliwa leo na Rais Jakaya Mrisho Kikwete, hatua ambayo itatatua kabisa tatizo la miundombinu.
|
![]() |
Wananchi wakivuka katika sehemu itakayojengwa darala la kisasa la Mbutu la Igunga ambao ujenzi wake umezinduliwa leo na Rais Jakaya Mrisho Kikwete, hatua ambayo itatatua kabisa tatizo la miundombinu.
|
![]() |
Wananchi wakivuka katika sehemu itakayojengwa darala la kisasa la Mbutu la Igunga ambao ujenzi wake umezinduliwa leo na Rais Jakaya Mrisho Kikwete, hatua ambayo itatatua kabisa tatizo la miundombinu.
|
![]() |
Waziri wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli, akijiunga na bendi ya Msondo Ngoma kutumbuiza wakati wa uzinduzi wa ujenzi wa daraja la Mbutu la Igunga leo.
|
![]() |
Rais Kikwete akipatiwa maelezo na mmoaj wa mainjinia wa ujenzi wa Daraja la Igunga, mara baada ya kuzindua ujenzi wake leo.
|
![]() |
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia mashine ya kuchimbia mashimo ya nguzo za daraja na baadaye kukata utepe kuzindua ujenzi daraja la Mbutu la Igunga.
|
![]() |
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizindua mradi wa Chujio la maji safi kwa mji wa Igunga sehemu za Bulenya, ambapo wakazi asilimia 70 wa mji huo, watapata maji safi.
|












No comments:
Post a Comment