Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akifungua pazia kama ishara ya uzinduzi wa Shule ya Umoja Uzini Sekondari, Wilaya ya Kati Unguja, katika shamrashamra za kilele cha miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Kulia ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali, Ali Juma Shamuhuna. (Picha zote na Ramadhan Othman, Ikulu)
|
No comments:
Post a Comment