![]() |
Mmoja wa Viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Andrew Chenge akiwasilisha maoni ya chama chake kuhusu Katiba Mpya katika mkutano na Tume ya Mabadiliko ya Katiba leo (Jumatatu, Jan 7, 2013) katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.
|
![]() |
Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba (kulia) wakiongozwa na Dkt. Salim Ahmed Salim wapokea maoni kuhusu Katiba Mpya kutoka kwa uongozi wa Chama cha Demokrasia na CM) ya chama chake kuhusu Katiba Mpya katika mkutano kati ya chama hicho na Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam leo (Jumatatu, jan. 7, 2012).
|
![]() |
Mmoja wa Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu akiwasilisha maoni ya chama chake kuhusu Katiba Mpya katika mkutano na Tume ya Mabadiliko ya Katiba leo (Jumatatu, Jan 7, 2013) katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.
|
![]() |
Mmoja wa Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu akiwasilisha maoni ya chama chake kuhusu Katiba Mpya katika mkutano na Tume ya Mabadiliko ya Katiba leo (Jumatatu, Jan 7, 2013) katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.
|
![]() |
Baadhi ya Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba wakifuatilia mkutano wa kukusanya maoni ya makundi mbalimbali katika ukumbi wa Karimjee leo (Jumatatu, Jan. 7, 2013) jijini Dar es Salaam.
|
![]() |
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, wakati alipokuwa akielezea kuhusu mapendekezo ya maoni yao, kuhusu Katiba mpya kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, wakati tume hiyo, ilipoanza kukusanya maoni kwa makundi maalumu. (Picha zote na Kassim Mbarouk)
|
![]() |
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, wakati alipokuwa akielezea kuhusu mapendekezo ya maoni yao kuhusu Katiba mpya kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, wakati tume hiyo, ilipoanza kukusanya maoni kwa makundi maalumu. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho Bara, Julius Mtatiro.
|
![]() |
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, wakati alipokuwa akielezea kuhusu mapendekezo ya maoni yao kuhusu Katiba mpya kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, wakati tume hiyo, ilipoanza kukusanya maoni kwa makundi maalumu. Kulia ni Naibu Mkurugenzi wa Uchaguzi na Bunge, Shaweji Mketo.
|
![]() |
Baadhi ya waandishi wa habari, wakinukuu maelezo yaliyokuwa yakitolewa na Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, wakati alipokuwa akizungumza nao, Dar es Salaam leo, kuhusu mapendekezo ya maoni yao ya Katiba mpya kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, wakati tume hiyo, ilipoanza kukusanya maoni kwa makundi maalumu.
|













No comments:
Post a Comment