Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), John Heche, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana, kuhusu baraza hilo, kuwachukulia hatua vijana wake wasaliti pamoja na mambo mengine yanayohusu nchi. Kulia ni Mwenyekiti wa BAVICHA, Mkoa wa Kinondoni, Hawa Mwaifuga, Mwenyekiti wa baraza hilo, Mkoa wa Rukwa, Laurent Mangueshi na Kaimu Katibu Mkuu wa BAVICHA, Esther Dafi. (Picha zote na Kassim Mbarouk)
No comments:
Post a Comment