TANGAZO


Sunday, November 25, 2012

Ziara ya Rais wa Zanzibar Dk. Shein nchini Vietnam

 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Viongozi katika Taasisi ya Kimataifa ya Sayansi ya Wanyama nje ya Mji wa Vietnam, akiwa katika ziara ya rasmi ya Kiserikali na ujumbe wake,katika kukuza uhusiano na Mashirikiano. (Picha zote na Ramadhan Othman,Viet Nam)
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein (kushoto), mkewe, Mama Mwanamwema Shein, Waziri wa Kazi, uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika, Haroun Ali Suleiman, pamoja na Maofisa aliofuatananao wakisikiliza taarifa kuhusu Taasisi ya Kimataifa ya Sayansi ya Wanyama nje ya Mji wa Vietnam, akiwa katika ziara ya rasmi ya Kiserikali na ujumbe wake, katika kukuza uhusiano na Mashirikiano.
 
Ujumbe wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Viongozi wa Taasisi ya Kimataifa ya Sayansi ya Wanyama,w akisikiliza Taarifa ya tafiti mbali mbali zilizofanywa na Taasisi hiyo, zilizotolewa wakati ujumbe huo, ulipowasili kituoni hapo katika kukuza uhusiano na ushirikiano baina ya pande hizo.
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein (kulia), akipata maelezo kutoka kwa Msaidizi Mkuu wa Taasisi ya Kimataifa ya Sayansi ya Wanyama Vu Chi Cuong,alipotembelea mabanda ya ufugaji wa kuku wa nyama na Mayai,a kiwa katika ziara kiserikali nchini Vietnam.
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein (katikati), na Ujumbe wake wakipata maelezo kutoka kwa Mtembezaji wageni katika makumbusho ya Maandishi ya kale,Nguyen Thi Hang, wakiwa katika Ziara ya Kiserikali Nchini VietNam.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein (katikati), na Ujumbe wake wakipata maelezo kutoka kwa Mtembezaji wageni katika makumbusho ya Maandishi ya kale, Nguyen Thi Hang,wakiwa katika Ziara ya Kiserikali Nchini Viet Nam.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein (katikati) na Ujumbe wake wakiwa katika picha ya pamoja na Mtembezaji wageni katika makumbusho ya Maandishi ya kale, Nguyen Thi Hang,(wa sita kati) baada ya kutembelea sehemu mbali mbali katika kumbusho hilo,wakiwa katika Ziara ya Kiserikali Nchini VietNam.
 
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein,(katikati) na Mama Mwanamwema Shein (kushoto) na Mtembezaji wageni katika makumbusho ya Maandishi ya kale, Nguyen Thi Hang, wakiwa katika picha baada kutembelea sehemu mbali mbali ya kumbusho hilo, wakiwa katika Ziara ya Kiserikali Nchini VietNam.

No comments:

Post a Comment