Sultani wa Oman, Al-Qaboos bin Said Al Said (kulia), akimtunuku Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania, Nishani ya Juu ya Heshima ya Taifa la Oman, wakati wa dhifa ya Kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya Rais Kikwete na ujumbe wake jana jioni katika kasri ya AL Alam, jijini Muscat Oman.
|
No comments:
Post a Comment