Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Balozi
Tuvuko Manongi, Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Nchini
Marekeni (kulia), alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa mazungumzo na Rais leo na
katikati Naibu wake Balozi Ramadhan Muombwa .(Picha na Ramadhan Othman,
Ikulu)
Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi
Tuvuko Manongi,mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Nchini
Marekeni,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa mazungumzo na Rais. Kushoto ni
Naibu wake Balozi Ramadhan Muombwa
Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein,akibadilishana mawazo na
Balozi Tuvuko Manongi,Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa
Nchini Marekeni,(kushoto) alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa mazungumzo na Rais,
katikati ni Naibu Balozi Ramadhan Muombwa

No comments:
Post a Comment