Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mama Salma Kikwete akiingia katika ukumbi wa Hyatt Regency Hotel, uliopo jijini Dar es Salaam leo, kwa ajili ya uzinduzi wa mpango kasi wa kuwawezesha wanawake na wasichana kiafya, kielimu na kijamii.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mama Salma Kikwete (kushoto), akiongea na Naibu Katibu Mkuu Mstaafu wa Umoja wa Mataifa (UN), Asha Rose Migiro, wakati wa uzinduzi wa mpango kasi wa kuwawezesha wanawake na wasichana kiafya, kielimu na kijamii katika ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Regency, uliopo jijini Dar es Salaam leo.
Katibu wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Daud Nasibu akitoa utambulisho wakati wa uzinduzi wa mpango kasi wa kuwawezesha wanawake na wasichana kiafya , kielimu na kijamii katika ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Regency uliopo jijini Dar es Salaam leo.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Husein Mwinyi akisoma hotuba yake, wakati wa uzinduzi wa mpango kasi wa kuwawezesha wanawake na wasichana kiafya , kielimu na kijamii katika ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Regency uliopo jijini Dar es Salaam leo.
Naibu Katibu Mkuu Mstaafu wa UN, Asha Rose Migiro akiongea na wadau mbalimbali (hawapo pichani), wakati wa uzinduzi wa mpango kasi wa kuwawezesha wanawake na wasichana kiafya, kielimu na kijamii katika ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Regency uliopo jijini Dar es Salaam leo.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mama Salma Kikwete akiwaelezea wadau mbalimbali jinsi mpango kasi wa kuwawezesha wanawake na wasichana kiafya, kielimu na kijamii unavyofanya kazi hapa nchi leo katika ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Regency uliopo jijini Dar es Salaam.Mke wa Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mama Salma Kikwete, akizungumza wakati alipokuwa akizindua mpango kasi wa kuwawezesha wanawake na wasichana kiafya, kielimu na kijamii katika ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Regency uliopo jijini Dar es Salaam leo.
Wake wa viongozi wakicheza wimbo wa wanawake na maendeleo ulioimbwa na msanii Vicky Kamata wakati wa uzinduzi wa mpango kasi wa kuwawezesha wanawake na wasichana kiafya, kielimu na kijamii katika ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Regency uliopo jijini Dar es Salaam leo.
Mwenyekiti wa WAMA, Mama Salma Kikwete (kushoto), akiongea jambo na Naibu Katibu Mkuu Mstaafu wa UN, Asha Rose Migiro wakati wa uzinduzi wa mpango kasi wa kuwawezesha wanawake na wasichana kiafya, kielimu na kijamii katika ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Regency uliopo jijini Dar es Salaam leo.
Wake wa viongozi, wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kwa kwa uzinduzi wa mpango kasi wa kuwawezesha wanawake na wasichana kiafya, kielimu na kijamii katika ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Regency uliopo jijini Dar es Salaam leo. (Picha na Anna Itenda – Maelezo)











No comments:
Post a Comment