Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda (kulia) akibadilishana mawazo na Mbunge wa Kuteuliwa Anna Abdallah (kushoto) leo, mjini Dodoma katika viwanja vya Bunge.
|
Mbunge wa
Musoma Vijijini, Nimrod Mkono
(kulia), akibadilishana mawazo na Naibu Waziri
wa TAMISEMI, Aggrey Mwanri mjini
Dodoma leo katika viwanja vya Bunge. |

No comments:
Post a Comment