| Afisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde (kulia), akitilia saini mkataba wa kudhamini michuano ya vijana wenye umri ya miaka 17 ya Airtel Rising Stars 2012, huku mjumbe wa Kamati ya mashindano hayo mkoani Dar es Salaam, Daudi Kanuti akishuhudia. Wengine ni Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Osiah (aliyesimama kushoto) na Mwenyekiti wa Kamati ya mashindano TFF, Saad Kawemba. Hafla hiyo ilifanyika jana Mei 21 kwenye ofisi za TFF. |
No comments:
Post a Comment