| Wananchi wakiulaki kwa shamrashamra msafara wa Sioi katka kijiji cha Ngwaranga. |
| Mwigulu akimnadi Sioi katika mkutano uliofanyika Kata ya Ngwaranga. |
| Mtoto Moreen Ajuaeli mwenye umri wa miezi minane akiwa amepanpwa na mama yake, Rose Shayo (kushoto) kwa skafu ya CCM, kwenye mkutano wa kamepeni za CCM, kijiji cha Ngwaranga. |
| Mgombea wa CCM Sioi Sumari, akizungumza na wananchi, wakazi wa kijiji hicho. |
| Mratibu kampeni za CCM Mwigulu Nchemba, akizungumza katika mkutano huo. |
| Mfanyabiashara ya genge , akiwa nyumbani kwake, eneo la Liganga, Usa River, akimnadi kiana mgombea Ubunge wa Arumeru Mashariki Sioi Sumari kwa kuchanganya bango la mgombea huyo na bidhaa zake. |

No comments:
Post a Comment