TANGAZO


Saturday, March 17, 2012

Ndege zashambulia kusini mwa Somalia


Inarifiwa kuwa ndege za kijeshi zimeshambulia kambi ya kikundi cha wapiganaji wa Kiislamu, al-Shabaab, kusini mwa Somalia.

Wanajeshi wa Kenya Somalia

Wenyeji wa huko wameiambia BBC kwamba mtu mmoja alikufa, na wengine kadha kujeruhiwa, kwenye kijiji cha Daytubaako, kiomita 15 kutoka Jilib.
Wanajeshi wa Kenya na Ethiopia wako kusini mwa Somalia.
 

No comments:

Post a Comment