
Bondia Mada Maugo akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam
wakati wa kusaini mkataba huo leo, kupigania ubingwa IBF raundi 12, pambano litakarofanyika
katika ukumbi wa PTA Sabasaba Aprili 28, mwaka huu. (Picha na Super D, Mnyamwezi.)

Bondia Francis Cheka akizungumza na waandishi wa
habari leo, kupigania ubingwa IBF raundi 12, pambano litakarofanyika katika ukumbi wa PTA
Sabasaba Aprilo 28, mwaka huu

Makamu Mwenyekiti wa Oganizesheni ya ngumi za Kulipwa
Nchini, Madaraka Nyerere (kushoto), akiwaelekeza mabondia Francis Cheka kulia na
Mada Maugo jinsi ya kusaini mkataba wa makubaliano wa kupigania ubingwa IBF
raundi 12, pambano litakarofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba Aprilo 28, mwaka huu.
No comments:
Post a Comment