TANGAZO


Sunday, December 11, 2011

Maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru

Rais wa Serikali ya Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein, akipokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Macky Sadiq, wakati alipokuwa akiingia Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam juzi kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru.

No comments:

Post a Comment