Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Sadifa Juma khamisi akizungumza katika Mafunzo elekezi kwa Makatibu wa Umoja wa Vijana wa CCM mikoa ya Tanzania bara na Visiwani katika ukumbi wa Kamati Kuu Ofisi Ndogo ya CCM, Lumumba Dar es Salaam.
Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Shaka Hamdu Shaka akizungumza katika Mafunzo elekezi kwa Makatibu wa Umoja wa Vijana wa CCM Mikoa ya Tanzania Bara na Visiwani katika ukumbi wa Kamati Kuu Ofisi Ndogo ya CCM Lumumba Dar es Salaam.
Washiriki wa mafunzo elekezi wakifuatilia mafunzo.
Mshiriki Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa
Kilimanjaro ndg. Abdulrahim Hamid akiuliza swali wakati wa Mafunzo
elekezi kwa makatibu wa umoja wa Vijana wa CCM Mikoa ya Tanzania Bara
na Visiwani katika ukumbi wa kamati kuu ofisi ndogo ya CCM Lumumba Dar
es Salaam. (PICHA ZOTE NA FAHADI SIRAJI)

No comments:
Post a Comment