TANGAZO


Thursday, January 19, 2017

ASKOFU MKUU WA JIMBO KUU LA KANISA KATOLIKI DAR ES SALAAM, MWADHAMA POLYCARP KADINALI PENGO ATEMBELEA TAASISI YA MOYO YA JAKAYA KIKWETE (JKCI)

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akiagana na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo  mara baada ya kutembelea   Taasisi hiyo jana. 
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akiagana na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo  mara baada ya kutembelea   Taasisi hiyo jana. 
 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akiwa katika picha ya pamoja na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo  alipotembelea  Taasisi hiyo jana. Kushoto ni Afisa Muuguzi Edna Kajuna.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Prof. Mohamed Janabi akiwa katika picha ya pamoja na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo  alipotembelea  Taasisi hiyo jana. Kushoto ni Afisa Muuguzi Edna Kajuna. (Picha zote na Anna Nkinda – JKCI)

No comments:

Post a Comment