Mkuu wa Kituo cha Utamaduni wa China nchini, Bw. Gao Wei akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), leo jijini Dar
es Salaam, kuhusu maonesho ya Utamaduni wa nchi hiyo, yatakayofanyika kuanzia
tarehe 12 hadi 24, Novemba mwaka huu, katika Makumbusho ya Taifa jijini.
Mkuu wa kituo cha Utamaduni wa China hapa nchini
Bw.Gao Wei akiwaonesha waandishi wa habari
(hawapo pichani), leo jijini Dar es Salaam baadhi ya maonyesho
yatakayoneshwa kuanzia tarehe 12 hadi 24, Novemba mwaka huu katika Makumbusho ya
Taifa jijini.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mkuu
wa kituo cha Utamaduni wa China hapa nchini Bw.Gao Wei (hayupo pichani), leo
Jijini Dar es Salaam wakati alipokuwa akitoa maelezo kuhusu maonyesho ya
Utamaduni wa nchi hiyo yatakayofanyika
kuanzia tarehe 12 hadi 24 Novemba mwaka huu katika Makumbusho ya Taifa jijini.




No comments:
Post a Comment